Tamthilia: Siri Za Darajani-00
Tamthilia: Siri Za Darajani-00
MTAA WA DARAJANI HISTORIA
Ni mtaa bunifu unaopatikana katikati ya Countymbili maarufu mashariki-kusini mwa Kenya: Mombasa na Kilifi. kihistoria, mtaa huo ulipewa jina la ‘Darajani’ tangu mwaka wa 1998 kutoka kwa neno ‘daraja’ ambapo mtaa huo ulitumiwa kama daraja kulingana na waliokuwa wakikwepa vita vikali vya kisiasa kutoka Kwale kuelekea Mombasa kutafuta amani. Wengi wao waliishia mtaani…
View On WordPress











