MFUNGO WA SIKU 10,MASAA 12 -APRIL [SIKU YA 5 ]
MFUNGO WA SIKU 10,MASAA 12 -APRIL [SIKU YA 5 ]
KANUNI YA KUPANDA NA KUVUNA (THE PRINCIPLE OF SOWING AND REAPING).
Utangulizi
Maisha ni shamba au ardhi ambayo inatawaliwa na kanuni ya kupanda na kuvuna.
Kila tendo tunalotenda duniani ni mbegu itakayotoa matokeo mazuri au mabaya kutegemea na uzuri au ubaya wa tendo husika.
Kila wazo tunalowaza ni mbegu, litaleta mavuno mazuri au mabaya kutegemea uzuri au ubaya wake.
Kila uamuzi tunaofanya…
View On WordPress








