Serikali haiwezi kutawala mioyo ya watu, kwa sababu haiwezi kukidhi kila haja ya kila raia. Lakini mbona inatawala? Si kweli! Serikali itakapotawala mioyo ya watu haitakuwapo, kwa sababu moyo una sifa ya kukata tamaa na kujitenga. #serikali #government #mioyo #hearts #raia #citizens https://www.instagram.com/p/BvycwOIHls-/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=x6pyt7i7pehh















