HEKIMA YA LEO [09-02-2017]
1. Kuna wakati wa kuongea na wakati wa kukaa kimya. Hekima hukusaidia kujua wakati gani ufanye lipi. 2. Tunapaswa kutambua kwamba, kwa maneno yetu tunahesabiwa haki na kwa maneno yetu tunahukumiwa. Kwa maneno yetu tunaleta uzima na kwa maneno yetu tunaleta mauti. 3. Ulimi ni kiungo kidogo sana, lakini kinaweza kufanya mambo makubwa, iwe ni mema au mabaya. Inahitajika sana hekima ili uweze…
View On WordPress














