MASHUJAA WAMEENDELEZA USHUJAA WAO KWA SIMBA
Klabu ya Mashujaa wa Lake Tanganyika wameendeleza ushujaa wao kwa kuitoa klabu ya Simba katika kombe la CRDB federation cup. Wameitoa katika mechi ambayo iliishia katika mikwaju ya penati. Klabu ya Mashujaa ilishinda mechi hiyo na hatimaye na kuitoa klabu ya Simba. Mechi hii imeibua hisia kubwa sana kwa washabiki wa klabu ya Simba kwani wengi wameona kwamba kutolewa huko kunatokana na madhaifu ya…
View On WordPress













