Kwaresma Siku ya 29 : Jinyime kwa Ajili ya Kuokoa Nafsi
Siku ya Leo ya Kwaresma inalenga kufunga kwa nia ya kuombea wokovu wa nafsi moja – mtu wa familia, rafiki au yeyote aliye mbali na Mungu. Funga hii si kwa desturi, bali kwa upendo, ukijinyima kwa ajili ya wokovu wa wengine. Katika sala, waamini wanahimizwa kusali Koronini ya Huruma ya Mungu na Zaburi 103, wakimwomba Mungu awahurumie wale waliopotoka. Tafakari ya Injili ya Yohana 8:1–11…











