Kwaresma Siku ya 38 : Jinyime kwa Ajili ya Wale Wasioamini
Mpendwa, Mafundisho ya leo yanahimiza waamini kufunga kwa nia ya kuombea wale waliopoteza imani au hawamjui Mungu kabisa. Kwa kujinyima mlo au starehe fulani, tunashiriki katika kazi ya ukombozi wa Mungu kwa niaba ya wengine. Hii ni sadaka ya upendo yenye nguvu ya kiroho. Katika sala, tunahimizwa kumwomba Mungu atupatie mioyo laini na roho ya kutii, tukitafakari maneno kutoka Ezekieli 36:26.…











