Kwaresma Siku ya 37 : Jinyime Kwa Ajili ya Kuwa Karibu Zaidi na Yesu
Mpenda, Karibu Mafundisho ya leo yanatualika kufunga kwa namna ya kiroho kwa kujinyima si tu chakula, bali pia maneno yasiyo ya lazima, malalamiko, na majivuno. Lengo ni kujiunganisha kwa undani na mateso ya Kristo anayekaribia kuingia katika mateso ya Pasaka. Kama Yesu alivyonyamaza mbele ya washtaki wake, waamini wanahimizwa kufanya funga ya kimya na utulivu wa moyo. Katika sala, tunaalikwa…














