NGOMA MPYA : LEE CHATTO - WANAPAGAWA
NGOMA MPYA : LEE CHATTO – WANAPAGAWA
Mwanamuziki chupikizi wa Bongo Fleva, Ally Chatto A.K.A Lee Chatto ambaye ameonyesha kuwa na kipaji cha hali ya juu katika kuchana licha ya umri wake mdogo. Ameachia ngoma yake ya kwanza inayoitwa “Wanapagawa” ambayo imefanywa kwenye studio za Sound Special chini ya Producer Tytah. Isikilize na kuipakua hapa
View On WordPress













