#arusha #Tanzania 2018 . @mahealbarwani a first Oman who entered Africa Continent by his motorbike...he started his journey 22/07/2017 it's has been more than a year since he started his journey from Oman entered the Emirates,Saudi Arabia he took ferry to cross Sudan,Ethiopia,Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi and enter Tanzania.He visited Tanzania regions up to Dar Es Salaam,took the ferry to Zanzibar Island with his motorbike,then again took another ferry to Pemba,then to Tanga and road transfer with his motorbike to Arusha and Moshi.He still continuing with his journey to other remaining regions and then heads to South Africa.. . Please follow him on his Instagram and support him more. #maheralbarwani . @maheralbarwani muoman wa kwanza alieingia bara la Africa peke yake kwa kutumia pikipiki tu ... alianza safari yake 22/07/2017 ni zaidi ya mwaka mmoja toka alipoanza safari yake kutoka Oman aliingia Emirates, Saudia kapanda meli kuingia Sudan, Ethiopia, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi kisha akaingia Tanzania alizunguka mikoa ya Tanzania mpaka kufika Dar es salaam alipanda meli kuelekea Zanzibar na usafiri wake wa pikipiki, alafu akapanda meli na kuelekea Pemba na usafiri wake wa pikipiki baada ya Pemba alipanda meli na usafiri wake Tanga alafu Moshi kuja Arusha. bado anaendelea na safari yake kumalizia baadhi ya mikoa mengine ilobakia na kuelekea South Africa.. . Please mfollow kwenye instagram yake tumpe support zaidi. #maheralbarwani (at Arusha, Tanzania) https://www.instagram.com/p/BncDENdDmFv/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=xrdy5wasub9l