Grandifolia by vaneramos Thank you to everyone who visits, faves, and comments. https://flic.kr/p/2n8SAU9
seen from Russia

seen from Indonesia

seen from China
seen from Indonesia

seen from Spain

seen from Germany
seen from United States
seen from France
seen from United Kingdom
seen from China

seen from Bulgaria

seen from United Kingdom

seen from Türkiye
seen from United States
seen from Japan

seen from Russia

seen from Sudan

seen from Singapore
seen from India
seen from China
Grandifolia by vaneramos Thank you to everyone who visits, faves, and comments. https://flic.kr/p/2n8SAU9
When you train do you think about how you train like how I’m talking about my tree climbing where I’m going to complete my full potential. #fullpotential #viewbelow #viewfromabove #topoftree #americanbeech #trentparktrees #howdoyoutrain #missionimpossible (at Camlet Moat) https://www.instagram.com/p/CTLDuORj2Je/?utm_medium=tumblr
This American Beech is my training tree. Today I climbed four climbs but taking my time about 30 minutes. It’s not the sort of tree to rush. #americanbeech #tree #treemarathon #climbingmarathon #climbhigher #freeclimbing (at Camlet Moat) https://www.instagram.com/p/CR69LmqjRVr/?utm_medium=tumblr
Spishi ya miti kama mfune inayopatikana katika bara la Amerika ya Kaskazini iitwayo ‘Fagus Grandifolia’ au ‘American Beech’, Kiongozi wa Kanda ya Amerika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia Kamishna Profesa Randall Buchanan Ortega alipoegemea huko Boston nchini Marekani; Dereva wa Tume Wayne Serrano alipompa tiketi ya ndege ya shirika la ndege la Uingereza (BA) ya kwenda Copenhagen, kuhudhuria kikao cha dharura cha Tume ya Dunia. Kwa sababu za kijiografia, katika majira ya baridi, kisaa, Copenhagen haina tofauti na Tunis, Tunisia na London, Uingereza. Iko mbele kwa saa sita kuilinganisha na Boston, Massachusetts, Marekani; na La Paz, Bolivia, Amerika ya Kusini. Iko nyuma kwa saa mbili kuilinganisha na Dar es Salaam, Tanzania; na nyuma kwa saa tano na nusu kuilinganisha na Yangon (Rangoon), Myama (Bama), Kusini-mashariki mwa bara la Asia. Faksi ya Oslo ilifika katika ofisi za Kanda ya Amerika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia jijini Boston asubuhi ya Jumatano (Jumatano hiyohiyo ilipotumwa) wakati kamishna akiwa Burlington katika mojawapo ya kliniki zake za madawa ya kulevya. Kamishna, alivyorudi ofisini mchana, alipewa taarifa za faksi na maelekezo yote ya safari yake ya Copenhagen; hivyo akaenda nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya safari, lakini akatumia muda mwingi nje ya nyumba katika mti wa ‘Fagus Grandifolia’; ambapo mawazo yalimsonga na kupitiwa na usingizi. Dereva wa Tume Wayne Serrano alipofika kuleta tiketi ya ndege kamishna alijiandaa; kisha Serrano akamwendesha mpaka uwanja wa ndege wa Logan, ambapo Ortega alisafiri kuelekea Copenhagen nchini Denmaki. Kiongozi wa Kanda ya Amerika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia na Mshauri wa Madawa wa Gavana wa Massachusetts, Kamishna Profesa Randall Buchanan Ortega wa Boston nchini Marekani, alikuwa mstari wa mbele katika vita kati ya Kolonia Santita na Tume ya Dunia. Soma zaidi hapa: https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=2351704314853383&id=100000415120038 #americanbeech #fagusgrandifolia #loganairport #koloniasantita https://www.instagram.com/p/BuBvUJyHRFM/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=1apkamrvx0xz8
Spishi ya miti kama mfune inayopatikana katika bara la Amerika ya Kaskazini iitwayo ‘Fagus Grandifolia’ au ‘American Beech’, Kiongozi wa Kanda ya Amerika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia Kamishna Profesa Randall Buchanan Ortega alipoegemea huko Boston nchini Marekani; Dereva wa Tume Wayne Serrano alipompa tiketi ya ndege ya shirika la ndege la Uingereza (BA) ya kwenda Copenhagen, kuhudhuria kikao cha dharura cha Tume ya Dunia. Kwa sababu za kijiografia, katika majira ya baridi, kisaa, Copenhagen haina tofauti na Tunis, Tunisia na London, Uingereza. Iko mbele kwa saa sita kuilinganisha na Boston, Massachusetts, Marekani; na La Paz, Bolivia, Amerika ya Kusini. Iko nyuma kwa saa mbili kuilinganisha na Dar es Salaam, Tanzania; na nyuma kwa saa tano na nusu kuilinganisha na Yangon (Rangoon), Myama (Bama), Kusini-mashariki mwa bara la Asia. Faksi ya Oslo ilifika katika ofisi za Kanda ya Amerika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia jijini Boston asubuhi ya Jumatano (Jumatano hiyohiyo ilipotumwa) wakati kamishna akiwa Burlington katika mojawapo ya kliniki zake za madawa ya kulevya. Kamishna, alivyorudi ofisini mchana, alipewa taarifa za faksi na maelekezo yote ya safari yake ya Copenhagen; hivyo akaenda nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya safari, lakini akatumia muda mwingi nje ya nyumba katika mti wa ‘Fagus Grandifolia’; ambapo mawazo yalimsonga na kupitiwa na usingizi. Dereva wa Tume Wayne Serrano alipofika kuleta tiketi ya ndege kamishna alijiandaa; kisha Serrano akamwendesha mpaka uwanja wa ndege wa Logan, ambapo Ortega alisafiri kuelekea Copenhagen nchini Denmaki. Kiongozi wa Kanda ya Amerika ya Kaskazini ya Tume ya Dunia na Mshauri wa Madawa wa Gavana wa Massachusetts, Kamishna Profesa Randall Buchanan Ortega wa Boston nchini Marekani, alikuwa mstari wa mbele katika vita kati ya Kolonia Santita na Tume ya Dunia. Soma zaidi hapa: https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=2351704314853383&id=100000415120038 #americanbeech #fagusgrandifolia #loganairport #koloniasantita https://www.instagram.com/p/BuBvJRCnF-N/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=1fcf45stbe1qm
American Beech - Fagus grandifolia
Plant Community - Northern Hardwood
Native Region - Eastern United States and Eastern Canada
Mature size - 80 ft tall
Preferred growing conditions - Partial Sun and Moisture
Hardiness zone - 3-8
Leaf color - Green
Flower color - Yellow
Animals - Beechnuts are primarily fed on by chipmunks and squirrels
https://plants.usda.gov/core/profile?symbol=FAGR
https://www.arborday.org/trees/treeguide/TreeDetail.cfm?itemID=789
Good morning #cokerarboretum You're looking very green today. #ncbg #northcarolinabotanicalgarden #unc #chapelhill #sweetgum #overcupoak #americanbeech #native #nativetrees #gffry (at Coker Arboretum)
#canitellyou my #weekendstartsnow yes!!! #americanbeech #greenportny #northforkli (at American Beech)