#Share #djmsafi #love #ke #tz
seen from Poland
seen from Israel
seen from Hong Kong SAR China

seen from Guatemala

seen from Malaysia
seen from Türkiye
seen from Yemen
seen from Yemen

seen from United States
seen from United Kingdom
seen from China
seen from Yemen

seen from Norway
seen from Italy
seen from Türkiye

seen from South Africa
seen from Kazakhstan
seen from Mexico
seen from Yemen
seen from Italy
#Share #djmsafi #love #ke #tz
#Djmsafi Watu wa jamii ya 'Mangbetu' ambao walikuwa wakipatikana katika msitu wa Ngong na Kajiado, walikuwa na utamaduni wa kuchonga vichwa na kuwa virefu kama status ya familia inayojulikana kama ‘Lipombo’, lakini baadaye iligeuka kuwa kama urembo. Kwenye jamii hiyo mtoto akizaliwa hufungwa na kitambaa kigumu kwa nguvu akiwa bado mchanga, ili kuwezesha fuvu lake la kichwa kuchongoka na kuwa refu. Utamaduni huu ulikuja kupotea baada ya wabelgiji kuanza kuwatawala na mpaka sasa haupo tena. That's why wao huwa vichwa Ngumu 😂😁😁😂
FOLLOW @DJMSAFI KWA UDAKU, NEWS, FOLLOW @DJMSAFI...PHOTOGRAPHER COME DM Just always believe on our self #Djmsafi company shot it GUZA LINK 🔗 https://m.youtube.com/channel/UCGJLD-tX2o6dP3J7Y6rQsJg #tz #ke #ug #rwa #Smile #sunday #djmsafi #girls #cute #summer #blur #sun #happy #fun #dog #hair #beach #hot #cool #fashion #friends #smile #follow4follow #like4like #instamood #family #nofilter #amazing #style #love #photooftheday #lol #my #nocrop
Memory is a wonderful thing if u don't have to deal with the past #tz #ke #ug #rwa #Smile #sunday #djmsafi #girls #cute #summer #blur #sun #happy #fun #dog #hair #beach #hot #cool #fashion #friends #smile #follow4follow #like4like #instamood #family #nofilter #amazing #style #love #photooftheday #lol #my #nocrop
INAUMA SANA KUMPENDA MTU ASIYEKUPENDA.(ME) Umemtumia mtu text lakini hajakujibu, meseji imepokelewa lakini hajajihangaisha kukujibu. Ukaamua kuiweka simu pembeni kuendelea na mambo mengine baadae unarudi bado unaona kimya hajakujibu. Unabaki ukijiuliza ana chat na nani mpaka asizione meseji zako na kuzijibu? Unabaki ukiendelea kujiuliza umemkosea nini? Unaanza kujiambia kuwa labda amekuchoka. Inauma sana kupuuzwa na mtu umpendae kwa moyo wote. Je unajua kuna uwezekano nae anapitia kipindi kigumu kama hicho? Sawa anaweza akakwambia anakupenda au amekumiss, lakini anae mtu mwingine ambae anampenda haswa. Unavyohangaika kumpigia, kumtumia meseji na asizijibu nae aweza kuwa anafanyiwa hivyo na ampendae. Anamtumia meseji, anamcall lakini nae simu zake hazipokelewi kama wewe. Nao wanapitia magumu kama wewe! Kufikia hatua hii, unafikiri kukata tamaa juu ya huyo mtu lakini inakuwa sio rahisi. Unafikiri kumuacha huyo mtu, kumblock hata kum "unfriend" fb lakini bado unaona moyo wako bado unampenda. Na unamatumaini ipo siku atarudi. Kila muda unapotaka kuichukua simu yako unaomba Mungu ukute meseji yake lakini ukishika tu simu unakuta meseji ya SAFARICOM wakikukumbusha kulipa deni ulilokopa kwa ajili ya muda wa maongezi. Unajikuta unaichukia simu yako na unamchukia kila mtu anaye kuongelesha, unatamani uipasue simu vipande vipande! ,inaniuma saana.. Mapenzi ni takataka 😢😧 #djmsafi #chwe #Lucky
https://m.youtube.com/channel/UCGJLD-tX2o6dP3J7Y6rQsJg ;follow me #Djmsafi & subscribe
First Rule of 2018 Never Talk about 2017 Sasa kuna mtu amenitext "ae" nkamjibu "iou" nkakula block, ni kama Hapendi mtu anajua vowels zote..... #boys #djmsafi #Kenya #ke #kdf #girls #cute #summer #blur #sun #happy #fun #dog #hair #beach #hot #cool #fashion #friends #smile #follow4follow #like4like #instamood #family #nofilter #amazing #style #love #photooftheday #lol #my #nocrop
Twendeni mapema kanisa tukakae karibu na socket 😇😇😊 #Djmsafi