Hayati Dr John Pombe Magufuli Kuzikwa Machi 25 Chato
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Miwili wa aliyekuwa Rais Dr John Pombe Magufuli utazikwa Machi 25 mwaka huu nyumbani kwake Chato, mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Miwili wa aliyekuwa Rais Dr John Pombe Magufuli utazikwa Machi 25 mwaka huu nyumbani kwake Chato, mkoani Geita. Ameeleza hayo wakati alipohutubia taifa punde baada ya kuapishwa Ikulu Dar es salaam Rais Samia amesema kuwa kesho Machi 20, 2021 mwili wa Hayati Rais Dk John Magufuli utatolewa Hospitali ya Jeshi Lugalo na…
View On WordPress










