Halmashauri toeni Mikopo kwa vikundi vinavyolima Mwani’ Prof. Shemdoe
Halmashauri toeni Mikopo kwa vikundi vinavyolima Mwani’ Prof. Shemdoe Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe ameuelekeza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia kuhakikisha wanaviwezesha vikundi vya Wanawake wanaojishughulisha na Kilimo cha mwani Wilayani humo. Prof. Shemdoe ametoa agizo hilo wakati alipotembelea visiwa na Chole na Juwani kujionea bidhaa mimea bahari…
View On WordPress










