Uwoya Ajutia Kupuuza Wito wa Majuto
Uwoya Ajutia Kupuuza Wito wa Majuto
Mwigizaji maarufu nchini Tanzania Irene Uwoya amesema anajuta kutokwenda kumjulia hali marehemu Amri Athuman maarufu Mzee Majuto alipokuwa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Uwoya ameileleza MCL Digital leo Ijumaa Agosti 10, 2018 kuwa Mzee Majuto alipokuwa akipatiwa matibabu hospitalini hapo, alimuita aende kumuona.
Majuto alifariki dunia Agosti 8, 2018 akiwa anapatiwa matibabu…
View On WordPress











