Mkuu wa mkoa ampa wakati mgumu Rais Magufuli
Mkuu wa mkoa ampa wakati mgumu Rais Magufuli
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Kebwe Steven Kebwe amempa wakati mgumu Rais kufuatia ombi lake la kutaka wananchi ambao wamevamia msitu wa Mvomero kuachwa waendelee na maisha yao jambo ambalo Rais Magufuli amesema ni kinyume na sheria za nchi.
(more…)
View On WordPress














