Kukosa Uvumilivu kwa Wana wa Mungu husababisha kukosa Baraka zao! ".....Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia....." Waebrania 6:9-15 Nakutamkia Roho ya Uvumilivu ya Kiungu ikujilie ili uyafikie maono yako katika Jina la Yesu Kristo! @chief_prophet_suguye @wrmtv #sundayservice #bible #wrm_tv #startimes_119 #azam #word (at Kivule Matembele Ya Pili) https://www.instagram.com/p/CIdGbJVnfag/?igshid=16nv8p98g0woc








