tumbili - kings dominion

seen from United States
seen from United States

seen from United States

seen from United States

seen from United States
seen from United States

seen from United States
seen from France
seen from Germany
seen from United Kingdom
seen from China

seen from United States

seen from United States

seen from United States
seen from Türkiye
seen from China

seen from United States

seen from Malaysia

seen from Canada

seen from Malaysia
tumbili - kings dominion
Yani duniani kuna mambo… kuna wanasayansi na madaktari kila siku wanatafta njia mpya kuponesha magonjwa mbali mbali. Kuna daktari mmoja amefanikisha kufanya upasuaji wa ajabu. kichwa kupandikiza ni operesheni upasuaji ambao unahusisha kupachika kichwa kimoja cha kiumbe kwenye mwili wa mwingine.
Kwenye Karne hii tutaona teknolojia ya matibabu ambayo yataathari maisha ya binadamu, Upandikizwaji wa kwanza wa vichwa kuanza mwakani na daktari anaeitwa Sergio Canavero.
Kwa mujibu wa Prof Canavero , timu iliongozwa na Xiaoping Ren walithibitisha kwamba mnyama anaweza kuishi bila ya kuumia ubongo wanapofanya upasuaji huu wa kupandikiza kichwa. ” Tumbili kikamilifu alinusurika utaratibu wote wa upasuaji bila jeraha lolote la mishipa ya fahamu ,” anasema Prof Canavero , lakini alisema ilikuwa tu kuwekwa hai kwa masaa 20 tu baada ya utaratibu kwa sababu za kimaadili.
This slideshow requires JavaScript.
Hizi ni hatua ambazo zinatarajiwa kutumika kwenye upasuaji huo.
1.wanatenganisha kichwa
2.Baada ya hapo shingo itakatwa na mipira iunganishwe na mishipa tofuati ya mwili.
3.Sehemu ya uti wa mgongo itakatwa na kisu maalum kilichotengenezwa kwa almasi kutokana na nguvu za jiwe hilo kwa kuwa sehemu hiyo ni ngumu.
4.Baadaye kichwa kinaunganishwa na mwili pamoja na uti wa mgongo kwa kutumia kwa gundi maalum.
5.Misuli, mishipa na sehemu za ndani ya mwili zinarudishwa na ngozi inashonwa upya.
Upasuaji huu utasaidia watu wenye ugonjwa wa ulemavu na wameshajitokeza kwa dk huyu kumuomba awafanyie.ona habari yake na video kuhusu ugonjwa wake hapa
historia fupi ya maibabu haya ingia hapa:
je unafikiria nini kuhusu matibabu haya ya ajabu?
ona zaidi hapa: http://www.bongo5.com/upandikizwaji-wa-kwanza-wa-vichwa-kuanza-mwakani-09-2016/
Kupandikizwa Kichwa
Yani duniani kuna mambo… kuna wanasayansi na madaktari kila siku wanatafta njia mpya kuponesha magonjwa mbali mbali.
Kupandikizwa Kichwa Yani duniani kuna mambo... kuna wanasayansi na madaktari kila siku wanatafta njia mpya kuponesha magonjwa mbali mbali.
Made a new friend this weekend. #yellowbaboon #tumbili #arusha (at Meserani Snake Park, Arusha, Tanzania)