MME WA MTU SUMU!! Mwanamke atumia Maji yenye UHAI kutoka kwa Nabii Mutula kurejesha ndoa yake!! 🟠Peninah alikuja maombi siku ya Tuesday wiki hii.. akilia nimuombee maana mme wake alikua amechukuliwa na mwanamke rafiki yake. Nilimuombea.. nikampatia Maji ya uhai ⛲ akanywa na akatamka maneno haya "YEYOTE ALIYECHUKUA MME WANGU ACHOMEKE NA AFURE SEHEMU NYETI AKIFANYA MAPENZI NA MME WANGU " Alienda.. ikatendeka kama alivyoomba.. Akarejeshewa ndoa yake na ndio Hawa Wamekuja Leo niwafungue. MME wake amefura sehemu Nyeti.. na mwanamke aliyekua amechukua mme wake anasikia akichomeka sehemu Nyeti.. Natangaza Kama Nabii wa Mungu aliyehai.. Yeyote Aliyetumia uchawi kukunyang'anya nyota, ndoa, Kazi, Biashara, afya au chochote maishani mwako Aanze kuchomeka mpaka awachilie maisha yako in Jesus mighty name. Prophet Mutula PGC church, kitise town ⛪ 📞☎️0720508509 #LetMyPeopleGo https://www.instagram.com/p/CqAA8HFI8SL/?igshid=NGJjMDIxMWI=